Trending News>>

Shamsa: Kwa Mume, Ustaa Nauacha Getini!


MCHEZA sinema za Kibongo mwenye mvuto wa kipekee, Shamsa Ford amesema kuwa kamwe haleti ustaa wake mbele ya mumewe kwani anajua madhara yake. Akizungumza na Star Mix, Shamsa alisema kuwa, ukijitafakari kazi ya sanaa anayofanya ni ya kuigiza hivyo akileta maigizo ndani ya ndoa itakuwa ni shida kubwa.
“Siwezi kupeleka sanaa yangu kwenye ndoa hata siku moja, ninachotakiwa ni kubuni sanaa ya kuniwezesha ndoa yangu kufika miaka mingi zaidi na zaidi.”
Na Imelda Mtema, Dar

No comments:

Powered by Blogger.