Trending News>>

Good News: Ni kwa waliomaliza Kidato cha Nne na Sita

Najua ninao watu wangu wa nguvu ambao ama wao au watu watu wao wa karibu wamehitimu masomo ya Kidato cha Nne na Sita na wanatafuta Vyuo vya Elimu ya Juu ili kujiendeleza kimasomo.
Nimekutana na GOOD NEWS na ikufikie kwako pia taarifa hii kutoka Center For Foreign Relations Dar es Salaam (FULL ACCREDITED BY NACTE) ambayo nimekuwekea hapa chini..

No comments:

Powered by Blogger.