Trending News>>

SIMULIZI :: Jini Mahabati Sehemu ya Tisa (Kwa wenye miaka 18+)


 

SIMULIZI : JINI MAHABATI
SEHEMU YA TISA
MTUNZI:MANYAMAJR
AGE: 18+
Baada ya kukaa kaunta alimtumia meseji Radhia na kumwambia  ameona kila kitu kilichoendelea hivyo kama anataka usalama basi na yeye amuonjeshe. Yaani kitendo tu cha Radhia kusoma ile meseji sehemu zake za siri zikaanza tena kumtekenya tekenya.
Akahisi mpando mkubwa wa mshawasha wa kufanya mapenzi. “Mungu wangu mbona hizi nyege mshindo zitaniua” alijisemea Radhia mara baada ya sehemu zake za siri kuanza kumuwasha. Akapeleka mkono wake kunako na kujaribu kukisugua sugua kitantalilo chake angalau kujipa nafuu ya hali hiyo ambayo mpaka sasa hakujua ilikuwa ikisababishwa na nini.
Mkono wake wa kushoto ulikuwa na kucha ndefu na nzuri hivyo akajikuta akijikwangua kwangua kwa utaraitibu bila kusababisha mchubuko. Hapo akajipanua zaidi mapaja yake na kuanza kurembua rembua kama mtu ambaye alikuwa akipata raha ya ajabu.
Wakati akiendelea na mchezo huo wa kujipa raha kwa kucheza chezea sehemu zake za siri muhudumu aliingia na kwa sababu aliacha mlango wazi muhudumu aliweza kuona kila kitu kilichokuwa kinaendelea ndani ya chumba hicho. Muhudumu huyo ammbye alikuwa ametumwa na mwalimu aliyeweka kambi kaunta alistaajabu ya Musa na kuayaona ya firauni.
Maana Razia alikuwa ulimwengu mwingne huku shingo akiwa ameiweka juu na macho anayafumba fumba na kuyafumbua. Muhudumu huyo alirudi kinyume nyume mpaka kaunta huku akiwa amefumba mdomo. “Vipi amekwambiaje”? lilikuwa ni swali la kwanza la mwalimu huyo.
 “Mmmmh nilichokikuta huko, kwa kweli siwezi kusimulia” Kauli hiyo ya muhudumu ilimfanya mwalimu huyo kushuka pale kwenye kiti kirefu kaunta na kwenda kujionea. Muhudumu yule alitamani kumzuia lakini alishindwa kwa jinsi mwalimu huyo alivyoondoka kwa spidi.
“Oooooh My God” alijikuta akiropoka mwalimu huyo mara baada ya kumkuta Radhia akiwa amejipanua miguu huku akijaribu kujipa raha. Akapiga hatua mbili na kumsogelea binti huyo. Tayari suruali ya mwalimu huyo ilishaanza kuumuka sehemu zake za mbele.
Kitendo cha mwalimu kusogea kilimfanya Razia kushtuka lakini tayari ute ute mzito kama uji ulitoka sehemu za siri za binti huyo. Yaani zilitoka kama bomba la mvua na kuchafua mapaja yake. Macho ya Ridhia yalikuwa yameiva utazani labda alikuwa amekula kungu manga.
Radhia kwa kasi ya ajabu alijinyanyua pale kitandani na kumfuata mwalimu wake huyo ambaye alikuwa ameganda kama mtu aliyepigwa na bumbuwazi.
Razia kwa kasi ya ajabu alimvamia mwalimu huyo kwa nguvu na kumkumbatia. Sio kumkumbatia tu bali alimkumbatia kwa nguvu huku midomo yake ikikimbilia kwenye kinywa cha mwalimu wake. Radhia alikuwa akimnyonya denda mwalimu wake utazani yeye ndo alikuwa ni mwanaume. Mwalimu naye akaamua kutoa ushirikiano kwa kupitisha mikono yake nyuma ya mgongo wa binti huyo. Ule muwasho wa Radhia sasa ukakolea mara dufu. Akajikuta anamsukuma kwa nguvu mwalimu wake na kuangukia kitandani. Alikuwa kama ni mtu aliyechanganyikiwa kwani akaanza kuchojoa nguo zake zote na kubaki kama alivyozaliwa. Bado mwalimu aliendelea kushangaaa hasijue ni nini kimemkumba binti huyo.
Radhia akamsogelea mwalimu wake na kuanza kumvua shati ambalo tayari lilishapata misukosuko kutokanana na kumbatio alilopata. Radhia hakuishia kumvua shati tu bali alishuka mpaka sehemu za chini. Akavuta suruali na kushika koni ya mwalimu huyo. Ulaini wa mikono yake ulimfanya mwalimu huyo asikie msisimko wa ajabu. Radhia aliuangalia ule mtarimbo kisha akapiga piga makofi ishara kuwa alirizishwa na ukubwa wa kiungo hicho. Mwalimu alijaribu kunyanyua shingo ili aweze kuona binti huyo alikuwa akishangilia nini?
Alistaajabu kwa sababu Radhia alianza kuzungusha mauno huku macho yake yakiwa yameganda kwenye mtarimbo wa mwalimu huyo. “Si bure lazima atakuwa na pepo la mahaba” alijisemea mwalimu huyo kabla ya kuivuta suruali yake na kuanza kuivaa. Wewe nani akubali ujinga huo ndo yalikuwa mawazo ya ghafla ya Radhia mara baada ya kuona mwalimu huyo anataka kuvaa nguo na kukimbia. Radhia alimvamia mwalimuu huyo akampandia juu. Mwalimu hajakaa sawa tayari Radhia alishakichomoa kirungu cha mwalimu huyo na kuanza kujichapa mapajani. Yaani Radhia alikuwa amedata maana mawazo yake yote yalikuwa ni kusuguliwa kunako maana alihisi muwasho wa ajabu. Mvuto wa umbo na sura vya binti huyo vilimfanya mwalimu huyo atoe ushirikiano kwa Radhia.
**ITAENDELEA**

No comments:

Powered by Blogger.