Trending News>>

Mourinho aeleza sababu ya Rooney kugeuka mbogo kwenye benchi dhidi ya Cristal Palace


Kocha wa klabu ya soka ya Manchester United, Jose Mourinho amefunguka sababu ya Wayne Rooney kufoka wakati alipokuwa kwenye benchi baada ya kutolewa uwanjani dakika ya 80 wakati wa mechi yao ya ligi kuu ya Uingereza Jumatano hii dhidi ya Cristal Palace.

Mourinho amesema mshambuliaji huyo alikuwa akilaamu maamuzi ya refa Craig Pawson kuwa nyima penalti ya wazi. “He was angry with a possible penalty,” amesema Mourinho. “He was complaining with the referee, he was complaining with the fourth official too.”

Kwenye mechi hiyo Man United ilifanikiwa kushinda magoli 2-1, magoli United yalifungwa na Pogba dakika ya 45 na Ibrahimovic 88 huku goli la Palace likifungwa na Mc Arthur dakika ya 66.

No comments:

Powered by Blogger.