Trending News>>

Maneno mazuri kuyoka kwa Jacqueline Mengi ..



Siku ya jana kulikuwa na uzinduzi wa kitabu cha Mkurugenzi wa IPP na Mfanyabiashara maarufu Reginald Mengi.


Kitabu hicho ambacho kitaelezea historia yake yote ya maisha yake kuanzia kukulia katika hali ya kimaskini mpaka kufikia kuwa Bilionea kwa hivi sasa.

Kitabu hicho kinachoitwa ‘I can I must I will’ kimeelezea maisha magumu aliyopitia, Dkt. Mengi amesema katika maisha yake alishawahi kulala chini lakini hakukata tamaa na ndio maana akapata msukumo wa kuandika kitabu hicho.

Maisha yangu awali nililala chini, wageni wangu walikuwa Panya na Mende lakini baadae nilipokua nikasema ninaweza kuondokana na umasikini na niliweza”.


Baada ya tukio hilo zito lililohudhuriwa na hata Raisi wa Tanzania John Magufuli, Mke wa Dr. Mengi, Mrembo Jacqueline Mengi aliandika maneno haya matamu kwa mume wake Kupitia ukurasa wake wa Instagram:


I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.

No comments:

Powered by Blogger.