Huyu ndiye aliyeanzisha Mashindano ya Kombe la Dunia.
Huku mashindano maarufu zaidi ulimwenguni yakiendelea Urusi, ni wapenzi wachache sana wa kandanda wanaojua chanzo cha mashindano ya Kombe la Dunia.
Mashindano hayo yalianzishwa na mtu mmoja mbunifu kutoka Ufaransa. Jules Rimet, aliyezaliwa Oktoba 14, 1873, Theuley, Mashariki mwa Ufaransa, na Mkatoliki alianzisha Red Star Sports Club 1897.
Mfaransa huyo alihusika katikauzinduzi wa shirikisho la kusimamia kandanda ulimwenguni(FIFA) mwaka wa 1904. Lakini juhudi zake za kuanzisha jamii ya kandanda ya kimataifa zilitatizwa na vita vya kwanza vya dunia mwaka wa 1914
Baada ya vita hivyo kuisha, ambapo alikuwa mwanajeshi wa Ufaransa, Rimet alichaguliwa kama rais wa FFF(French Football Federation) mwaka wa 1919. Machi 1, 1921, Rimet alifanywa kuwa rais wa FIFA ambapo alilenga kuanzisha mashindano ya ulimwengu wote.
Mipango yake ya Kombe la Dunia hata hivyo ilipata changamoto kubwa kutoka kwa vyama vidogo vya kandanda na Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki(IOC) chini ya Pierre de Coubertin.
Tuzo la mashindano hayo lilipewa jina la raia huyo wa Ufaransa, 1930, ambapo mataifa kadhaa ya Amerika Kusini yalizuru Uruguay kwa mashindano hayo.
Baada ya kufaulu kwa mashindano hayo, Rimet alisalia rais wa muda mrefu zaidi wa FIFA-kwa miaka 33. Alianzisha mashindano hayo na wanachama 12, lakini alipoondoka, yalikuwa na wanachama 85. Aliaga dunia 1956, akiwa na miaka 83.
Kombe la Dunia la Kwanza




1 comment:
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment