Zari, Mobeto Kukutana uso kwa uso Uganda
Hamisa Hassan Mobeto.
Zari na Hamisa wamekuwa wakiripotiwa kutoelewana na kurushiana vijembe katika mtandao tangu Hamisa alipozaa na msanii huyo asiyekuwa na nidhamu na zipu yake wakati akijua fika Zari bado ameweka kambi kimapenzi.
Sasa Hamisa na Zari si kwamba wanaviambiana tu kwenye mitandao, bifu lao limeenda mbali zaidi lakini katika njia ambayo ni nzuri.
Zarinah Hassa ‘The Boss Lady’.
No comments:
Post a Comment