Trending News>>

Zimbabwe yatwaa Kombe la Cosafa




Timu ya Taifa ya Soka ya Zimbabwe imetwaa ubingwa wa mashindano ya COSAFA2017 baada ya kuifunga Zambia mabao 3-1



Magoli ya Zimbabwe yalitiwa wavuni na  22' K. Mutizwa, 57' T. Chawapiwa pamoja na 67' O. Mushure

Huku goli moja la Zambia kifungwa na 39' L. Mundia

No comments:

Powered by Blogger.