Trending News>>

TEKNOKONA::Fanya hivi, Kama umesahau passowd au pattetn katika simu yako..


Njia hii ni mahususi kwa simu za android pekee, kwani ukifanya hivi katika simu nyingine haitafaa.

1.Zima simu yako

2.Bonyeza kwa pamoja kitufe cha kuwashia simu (Power Button) na kitufe cha juu cha kuongezea sauti (Volume Up Button) kwa sekunde 5 hadi uone simu inawaka.

3.Kwa watumiaji wa simu za Samsung Galaxy bonyeza kwa pamoja kitufe cha kuwashia simu (Power Button) na kitufe cha juu cha kuongezea sauti na Home button.

4.Utaona maandishi madogo upande wa kushoto  yaliyopangwa kushuka chini.

5.Bonyeza kitufe cha chini cha sauti ili kuchagua maneno yaliyoandikwa (Wipe data/Factory reset)

6.Kisha bonyeza kitufe cha kuwashia simu (Power Button).

7.Acha simu yako ifanye reboot.

8.Tayari umefanikiwa kuondoa password au pattern uliyoisahau.

1 comment:

Unknown said...

Welldone kwa kutoa ufafanuzi mzuri kuhusu Simu za ANDROID

Powered by Blogger.