Trending News>>

SKAUTI MKUU NCHINI BI.MWANTUM AZUNGUMZIA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 100 TANGU CHAMA HICHO KUANZISHWA

Skauti Mkuu nchini Bi. Mwantumu Mahiza akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam wakati akielezea sherehe za maadhimisho ya miaka 100 tangu chama hicho kianzishwe, kulia ni Kamishna Mkuu, Msaidizi Mambo ya Nje wa chama hicho Fredrick Nguma na kushoto ni Kamishna Mtendaji wa chama hicho Eline Kitaly.
Skauti Mkuu nchini Bi. Mwantumu Mahiza akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam wakati akielezea sherehe za maadhimisho ya miaka 100 tangu chama hicho kianzishwe, kushoto ni Kamishna Mtendaji wa chama hicho Eline Kitaly.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Skauti Mkuu nchini Bi. Mwantumu Mahiza (aliyekaa katikati) wakati akielezea sherehe za maadhimisho ya miaka 100 tangu chama hicho kianzishwe, mapema hii leo jijini Dar es Salaam
Kamishna Mkuu, Msaidizi Mambo ya Nje wa Chama cha Skauti Tanzania Fredrick Nguma (kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea sherehe za maadhimisho ya miaka 100 tangu chama hicho kianzishwe, kushoto ni Skauti Mkuu nchini Bi. Mwantumu Mahiza.
Kamishna Mkuu, Msaidizi Mambo ya Nje wa Chama cha Skauti Tanzania Fredrick Nguma(kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akielezea sherehe za maadhimisho ya miaka 100 tangu chama hicho kianzishwe, katikati ni Skauti Mkuu nchini Bi. Mwantumu Mahiza na kushoto ni Kamishna Mtendaji wa chama hicho Eline Kitaly.

Picha zote na Eliphace Marwa – Maelezo

No comments:

Powered by Blogger.