Trending News>>

Changudoa Ananipiga Mizinga na Kuniambia Ananipenda

Nilipita club moja nikaopoa changudoa moja ambaye alijinasibu kuwa ni mwanafunzi wa udsm. Kabla sijapiga mambo alinidai nimpe chake kabisa. Sasa kwa vile ni toto limeumbika balaa kama mnavyo muona Hapo Juu kwenye picha nikachukua namba ili nilitafune tena siku nyingine na yeye akaomba yangu nikampa.
Sasa nashangaa linanitumia msg za kuniomba hela na kuniambia ananipenda anataka kuwa wangu kimoja wakati linajua mi siyo bwanaake na uhusiano hapa ni wa nipe nikupe. Sijamtumia ananisumbua sana mpaka kero sasa.
Sasa sijui nifanye nini kwa uzuri ni mzuri hasa hasa umbo na weupe wake ndio wanichanganya..ila ile fact ya kuwa nilimkuta katika madhingira ya kujiuza inaniumiza kichwa nahisi sinta kuwa na amani nikimkubalia…

No comments:

Powered by Blogger.