Trending News>>

MANGULA ASAINI KITABU CHA MAMBOLEZO YA KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA CUBA FIDEL CASTRO, LEO



 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo (aliyesimama), Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole  Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa zamani Adamu Malima ambaye naye alifika kusaini kitabu hicho
  Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole  Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Waziri wa zamani Adamu Malima ambaye naye alifika kusaini kitabu hicho
  Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akimpa pole  Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. 
 Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Philip Mangula akizungumza na Balozi wa Chuba hapa nchini, Jorge Luis Lopez Tormo baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba, Fidel Castro, nyumbani kwa balozi huyo,, Mtaa wa Alli Bin Said, Oysterbay jijini Dar es Salaam. 
Msaidizi wa Balozi wa Chuba hapa nchini Sultan Hamud Said akimkaribsha Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara, Philip Mangula alipowasili kwenye ubalozi huo kusaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Rais mstaafu wa Cuba Fidel Castro. Picha na Bashir Nkoromo

No comments:

Powered by Blogger.