Trending News>>

BAADA ya Kimya Kirefu BOB Junior Anakukaribisha Kutazama VIDEO Yake Mpya Hapa....

Baada ya ukimya flani hivi, leo Nov 3 Bob Juniour ameamua kuwakata kiu mashabiki wake na kuachia video  mpya ya wimbo wake wa ‘Chuku chuku’. Karibu uitazame na pia usiache kuniachia comment yako ili Bob Juniour akisoma ajue watanzania na mashabiki wake wameipokeaje hii. TAZAMA VIDEO HAPA ALAFU TOA MAONI YAKO:

1 comment:

Unknown said...

Karibu tena kijana katika Ulimwengu wa Music tulikumic xana

Powered by Blogger.