Trending News>>

Channel Mpya DSTV TRACE MUZIKI Kwa Ajili ya Afrika Mashariki Inaboa

Nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel mpya ya DSTV kwa ajili ya East Africa inayoitwa Trace Muziki Kwa ajili ya kupiga ngoma za wanamuziki wa kutoka afrika mashariki, lakini nimekuwa disappointed kwani wanarudia nyimbo mpaka zinaboa, ni kama wana play list ya wasanii wachecha ambao wamewalipa kurudia nyimbo zao kila wakati..najua Afrika mashariki kuna wanamuzki wengi tu lakini walioko kwenye rotation yao hawazidi kumi hasa wakenya...
Badilikeni....KIFUPI MNABOA tunawanamuziki wengi sana East africa najua mnatumiwa kazi nyingi sana mnazitia kampuni....
DSTV tunahitaji burudani Badilikeni basi tuendelee kuwatazama

By Stori za kitaa

No comments:

Powered by Blogger.