Trending News>>

Simba yajiimarisha kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom

Simba yaipa kichapo Kagera Suger 2 - 0 uwanja wa Uhuru jijini Dar leo

Simba imezidi kujichimbia kileleni baada ya kuichapa Kagera Sugar kwa mabao 2-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Simba iemfikisha pointi 23 kileleni baada ya ushindi huo wa mabao yake yaliyofungwa na Muzamiru Yasini na Shiza Kichuya.

MECHI NYINGINE LEO:
JKT Ruvu 1-1 Mwadui
Stand United 1-1 African Lyon

No comments:

Powered by Blogger.