Trending News>>

Kamanda alieiba matunda ya wapalestina asimamishwa kazi

Kamanda wa jeshi la Israel alieonekana  katika  operesheni ya kusambaratisha waandanaji el Halil Palestina akiiba matunda « aple » amesimamishwa kazi kwa muda.

Hatua hiyo imechukuliwa baada ya jeshi kuthibitisha tukio hilo.

Wauza  matunda  katika Ukingo wa Magharibi  walilazimika kuondoka katika vibanda vyoa wakikimbia ghasia ndipo kamanda huyo alionekana kuiba matunda.

Video  inayomuonesha kamanda huyo akiiba matunda imezagaa katika mitandao ya kijamii.

No comments:

Powered by Blogger.