Trending News>>

Everton yaifunga Gor Mahia 2 - 1, Rooney apiga bao

Mpira umekwisha kwa Everton kushinda bao 2-1, magoli yakifungwa na Rooney dakika ya 35 kabla  Tuyisenge wa Gor Mahia kusawazisha dakika mbili baadaye. Goli la ushindi la Everton limepatikana dakika ya 82 kupitia kwa Dowell.

No comments:

Powered by Blogger.