Trending News>>

Chuchu: Mimi na Ray Hakuna Anayewaza Ndoa


Chuchu aliliambia Wikienda kuwa, yeye na Ray hawajakaa na kulizungumzia suala la ndoa lakini anaamini kuwa siku ikifika mambo yatakuwa bambam.

“Hakuna hata mmoja kati yetu anayeiwazia ndoa. Sasa hivi kila mtu jicho lake lipo kwa mtoto na naamini siku ikifika Ray mwenyewe atazungumza kwa kuwa jambo hili halitaki kulazimishwa hata siku moja,” alisema Chuchu.

Stori: Imelda Mtema, Dar

No comments:

Powered by Blogger.