BAD NEWS: Staa wa Kuch kuch hota hai amefariki Dunia
By
Kuch kuch hota hai ni moja ya movie kali kutoka Bollywood ambayo imekuwa ikipendwa sana na wafuatiliaji wa filamu za kihindi hasa kutokana na uwepo wa Waigizaji mastaa kama Shah Rukh Khan, Salman Khan, Kajol na wengine.
Reema Lagoo (kushoto) akiwa na Shah Rukh Khan kwenye filamu ya Kal Ho Naa Ho
Reema Lagoo (kulia) akiwa na Kajol kwenye filamu ya Kuch kuch hota hai
R.I.P Reema Lagoo.