Diamondplatnumz amekabidhiwa bendera ya Tanzania na waziri wa habari sanaa na michezo mh Nape nnauye ili kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017 nchini Gabon ambapo atatumbuiza katika ufungizi wa mechi ya kichuano hiyo.
Diamondplatnumz amekabidhiwa bendera kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017
Reviewed by
Unknown
on
January 11, 2017
Rating:
5
No comments:
Post a Comment