Trending News>>

Diamondplatnumz amekabidhiwa bendera kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017



Diamondplatnumz amekabidhiwa bendera ya Tanzania na waziri wa habari sanaa na michezo mh Nape nnauye ili kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya #AFCON2017 nchini Gabon ambapo atatumbuiza katika ufungizi wa mechi ya kichuano hiyo.

No comments:

Powered by Blogger.