Trending News>>

SIMBA, Yanga na Azam Marufuku Kusajili Wachezaji Toka Nje ya Nchi


Serikali imevipiga marufuku vilabu vya Yanga SC, Azam FC na Simba SC kutumia wachezaji wa kigeni hadi watakapokamilisha taratibu za uhamiaji nchini.

Vilabu hivi husajili wachezaji wengi wa kigeni kutokana na nguvu ya kifedha waliyonayo.

Mpaka sasa klabu ya Simba imeingia katika kashfa ya kuwatumia wachezaji wake wakigeni wasio kuwa na vibali.

No comments:

Powered by Blogger.