Trending News>>

SIKILIZA Wimbo Mpya wa Lady Jay Dee Akiwa na Mpenzi Wake Mpya Spicy......


Hivi karibuni kulikuwepo na tetesi nyingi sana katika mitandao ya kijamii zikisema kwamba mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Lady Jaydee amefunga ndoa na mwanamuziki wa Nigeria, Spicy, na sasa wawili hao wameachia wimbo wa pamoja, Together Remix



Powered by Blogger.