Trending News>>

Nafasi za Kazi Kiwanda Cha Dangote (NAFASI 594) Apply Hapa

NAFASI ZA KAZI DANGOTE CEMENT KUMBU NO;DIL/A00/2016/01

Kiwanada cha kuzalisha saruji cha DANGOTE Tanzania kilichopo mkoani Mtwara kilomita 23 bara bara ya Lindi, Kata ya Mayanga, Kijiji cha HIARI, kinaalika maombi ya nafasi za kazi za madereva wenye uzoefu wa magari makubwa ya mizigo yasio pungua uzito wa  tani 33 na urefu usiopungua mita 18


DEREVA GARI ZA MIZIGO NAFASI 594

SIFA ZA MWOMBAJI

                               I.            Awe na umri wa miaka 26 hadi 55

                            II.            Awe na lesini halali ya daraja E  na mwenye uzoefu usiopungua miaka mi 5 ya kuendesha magari makubwa ya mizigo uzoefu wa kuendesha maroli wenye urefu usiopungua mita 18

                         III.            Uzoufu usiopungua miaka mi 5 kwenye magari ya kuvuta tela

                         IV.            Ajue kuandika taarifa na uzoefu wa kuweka kumbu kumbu zake kwa ufasaha

                            V.            Awe na afya njema, akili timamu,  ari ya kufanya kazi kwa tija, mwadilifu, mbunifu awezaye kujisimamia mwenyewe,  katika kutimiza majukumu atakayo pewa

                         VI.            Awe na wadhamini wanaoaminika na awe tayari kuchukuliwa alama za vidole

                      VII.            Awe na uelewa wa kusoma na kuandika na kusikia  Kiswahili na kingereza kwa uufasaha muhitimu wa kidato cha IV/VI

                   VIII.            awe mtuami mzuri wa muda katika safari atakazo pangiwa  ndani na nje ya nchi

                         IX.            awe na uwezo mzuri wa kupaki garikwene nafasi zinazo bana

                            X.            awe na uwezo wa kusoma kiongoza ramani


VIAMBATANISHO

-          Barua ya maombi ichapishwe au iandikwe kwa mkono

-          Picha 2 za rangi zilizobanwa na vizuri katka barua ya maombi

-          Vyeti vya mafunzo VETA/NIT pamoja na taaluma

-          Cheti au barua kutoka muajiri wa sasa au aliyepita

-          Barua toka kwa wadamini wa 2 wanaoaminika zikiambatana na picha zao

-          Cheti cha afya kutoka hospitali inayotambulika na serikali

-          Cheti za kuzliwa

MSHAHARA KWA MWEZI

DILSS Faraja lla 2 ngazi ya 3


NAMNA YA KUWASILISHA MAOMBI

-          Andika nfasi unayoomba upande wa juu kulia  mwa bahasha  sambamba na kumbu kumbu namba ya tangazo

-          Pamoja na maelezo ya uombaji onyoesha chanzo cha taarifa ya uombaji

-          Maombi yatumwe kwa njia ya posta kupitia anuani  zilizopo hapo chini

-          Barua za mkononi hazitapokelewa

-          Barua zote zitumwe kwA

MKUU WA IDARA YA RASILIMALI WATU NA UTAWALA,

DANGOTE INDUSTRIES LIMITED TANZANIA,

S.L.P 1241,

MTWARA


  Kwa maulizo wasiliana nasi kwa barua pepe recruitment.tanzanis@dangote.co

No comments:

Powered by Blogger.