Trending News>>

GAZETI la Guardian la UK Latoa Nyimbo Kumi Bora za Africa Mwaka 2016, Mtanzania Ashika Nafasi ya 2

Gazeti ya the guardian la uingereza litemtoa nyimbo kali za mwaka 2016 zilizotikisa africa.
Katika orodha hiyo tanzania imebahatika kuingia nyimbo 1 tena ikishika nafasi ya 2,
Diamond platnumz kupitia wimbo wake wa salome amefanikiwa kushika nafasi ya 2 huku, nafasi ya kwanza ikienda nigeria kwa kuchukuliwa na msanii Tekno na wimbo wake wa Pana

Orodha kamili
1. Pana -- tekno
2. Salome -- diamond ft rayvany
3. Hollup -- mr eazi ft joey B and danny krame
4. No kissing baby --- patoranking ft sarkodie
5. Wololo --- babe wodumo ft mampintsha
6. Dance for mr --- eugy ft mr. Eazi
7. Ngudu --- kwesta ft cassper nyovest
8. Koffi anan --- yemi alade
9. Soweto baby ----- dj mophorisa ft wizkid
10. Uncondionational bae --- sauti sol ft alikiba

No comments:

Powered by Blogger.