Trending News>>

ALICHOANDIKA Zari Baada ya Kurudi Nyumbani Akiwa na Mtoto wa Kiume


Hatimaye Zari na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto wa kiume aliyezaliwa saa 10:35 alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.

Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini.

Diamond na Zari wameonesha furaha kwa ku-share picha za mtoto kwenye mitandao yao ya kijamii...


zarithebosslady: thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok

No comments:

Powered by Blogger.