Trending News>>

RATIBA YA VIPORO LIGI KUU IKO PALE PALE - TFF




SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limeendeleza msimamo wake wa mechi za ligi kuu kuchezwa  kesho hasa baada ya timu ya Ruvu Shooting kulalamika uchovu wa safari  baada ya kutoka Kagera na kutembea zaidi ya masaa 22 barabarani.

Michezo hiyo inahusisha pia timu za Mwadui ya Shinyanga na Azam FC ambayo ilipewa jina la Mechi Na. 57 itachezwa Uwanja wa Mwadui wakati Simba itasafiri hadi Mbeya kucheza na Tanzania Prisons katika mchezon Na. 60 Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine.


Mechi zilipangiwa ratiba, lakini tarehe zake hazikupangwa (TBA). Tayari Bodi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), lakini mpaka kufika asubuhi ya leo timu ya Ruvu Shooting imeweka wazi kuwa hawatapeleka timu uwanjani kutokana na hali halisi ilivyo ya uchovu kwa wachezaji 

No comments:

Powered by Blogger.