Trending News>>

Mange Kimambi Atoa Ushauri Kwa Wasanii Kuhusu Unyonyaji Unaosemekana Unaofanywa na Clouds FM Kwa Wasanii...


Mange Kimambi Amefunguka na kuwashauri wasanii wa Bongo Flava kuhusu Radio Clouds FM ambayo wasanii wengi wamekuwa wakilalamika chini chini kuwa inawanyonya, ameandika haya hapa chini:


Mange Kimambi
"I love how Ruby @iamrubyafrica anajitahidi kuwa shujaa na ku-survive bila clouds but ukweli ni kwamba mwisho wa siku atashindwa tu na atashuka tu kimziki Kama inavyokuwa kwa Jide..... Tena Huyu anaweza kupotea kabisaaaaa kwenye anga ya muziki.....
.
.
Ruby hawezi kushindana na giant Kama Clouds. Jide mwenyewe na umaarufu wake na u-legend wake Clouds wanam-maliza kidogo kidogo..Yani Jide isingekuwa kwamba she is a legend tungekuwa tumeshamsahu. Ni vile she is too big to easily take down....
.
.
Nawarudi Tena clouds itaendelea kuwaonea wasaniiii wa Tanzania for as long as mkiendelea kutengana hivi.hakuna msaniii mmoja atakaewaweza clouds.Na tatizo linakuja kwamba wale ambao sasa hivi wako poa na clouds hawataki kusaidiana na wenzao ambao sasa hivi wanaisoma namba. Hawajui kwamba kuna siku na wao yatawafikaaaaaa..... Mfano mzuri Dina Marios, wafanyakazi kibao pale clouds walifanyiwa alichofanyiwa yeye Ila yeye akawa busy anacheka na mabosi hakujua kuna siku itafika zamu yake. Na ilipofika kalia lia insta na hakuna aliemsaidia.
.
.
Wanamuzidi wa TZ inabidi muamke now.Tatizo hamjaijua nguvu yenu, mnadhani clouds Ina nguvu Hapana nyinyi ndo mnaeipa clouds nguvu. Ukisikiliza clouds asubuhi mpaka usiku, 90% ya mziki unaopigwa ni bongo flava, mahojiano ni 100% bongo flava artists, Fiesta Yao ni 100% bongo flava artists. Sasa hamuoni kuwa nyinyi ndio kiini cha clouds??Without you clouds is nothing. But lazma muwe kitu kimoja. Clouds inatakiwa iwaheshimu Kama mnavyoheshimiwa na Efm au east Africa radio.
.
.
Nawahakikishia wasanii wa Tanzania Asilimia 90 tu mkigoma ngoma zenu kupigwa clouds au ku-perform fiesta au kuhojiwa na Kina soudybrown basi clouds is dead. Watabaki na wanamuziki wao wa THT na Diamond.. redio haitoendeshwa na wasaniii hao tu.Diamond mwenyewe kashikwa na Ruge, pesa yake kubwa inaliwa na Ruge.hao kina Babu Tale sijui Salaam ni wauza sura tu, real manager wa Diamond is Ruge.So Diamond msimtegeee kwenye huo mgomo..Mi nawaambia hivi hamjaijua nguvu yenu, wagomeeeni wiki 2 tu ngoma zenu zichezwe Efm na radio zingine tu, wao clouds wapige ngoma za Dai na THT, na fiesta mgome wote kuperform muone kama Ruge hatokuwa muungwana....

Wasaniii wa Tanzania inabidi muutilie manani ule msemo unaosema , the enermy of my enermy is my friend. Kwa Kiswahili ni kwamba ' Adui wa adui yangu ni rafiki yangu.... Adui makubwa mkubwa wa clouds kwasasa hivi ni Efm so nyinyi lazma m-join forces na Efm in order kuwanyooosha clouds....
.
.
Ndio sio wasaniiii wooote watakaokubali kuwagomea clouds. Lazma kutakuwa na masnitchi wachache. hao wachache waacheni lakini wengi wenu angalau 80% yenu mkiwapa nguvu Efm, clouds wataomba pooo..... inabidi wasaniiiii mpunguze nguvu ya clouds... ngoma zenu zikipigwa Efm na ma interview yoooote ya umbea yakifanyika Efm wananchi wenyewe woooote wataanza kusikiliza Efm watahama clouds. Na clouds hawawezi kukubali kupunguza listeners wataomba poooo then mtafanya kazi kwa kuheshimiana.
.
.
You guys have to come together na muondoe kabisa huuu udikteta wa clouds....sijawahi kuona wala kusikia duniani eti radio station inaweza Kugoma kupiga nyimbo ya msaniii kisa hawampendi... hapa marekani ukiona radio imeacha kupiga nyimbo ya mwanamuziki flani ujue ni sababu ya wananchi Kama vile ilivyotokea kwa Chris brown radio na TV zilivyocha kupiga ngoma zake baada ya kumpiga Rihanna... Yani inabidi Mwanamuziki awe kakosea jamiiii nzima kwa kitu kikubwa na sio eti sababu bosi wa radio hampendi..... Its very stupid..... .
.
Inabidi muungane na mtuambie ni wasaniiii gani waliokataaa kujiunga na huo mgomo ili wananchi wawanyoooshe kwa kugomea show zao.....😂...... seriously hata wale ambao sasa hivi mnapendwa na mabosi wa clouds lazma muwasaidie wenzenu sababu na nyie kuna siku tu yatawakuta..
.
. . .
Yamoto band wenyewe wametendwa na Ruge. Wanamdai mamilioni. Ile kumdai Ruge kawapoteza kwenye ramani.... Yamoto band pia manager wao alikuwa Ruge , babu Tale anauza sura tu. Hana msaaniii yoyote anaem-manage... Yani ukiona msaniii eti manager wake ni Babu Tale au Salaam we jua ni msaniiii wa clouds....
.
.
Clouds FM is the CCM of the music industry.... The dictatorship has to end. Ni nyinyi wasaniiii wenyewe mtaoweza kuwanyooosha clouds" Mange

No comments:

Powered by Blogger.