Trending News>>

Lebo ya WCB ya DIAMOND Platnumz Yaingia Partnership na Lebo Kubwa ya Music ya Universal Music

Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo itakuwa inasambaza kazi za Wasanii wote wa WCB na Mkataba wake adai amelipwa Dola Milion Moja...
Diamond Ameongea hayo katika Kipindi cha XXL cha Clouds FM,,,

No comments:

Powered by Blogger.