Trending News>>

Tamasha la Fiesta lakanusha tetesi za kumleta Jay Z Fiesta Dar

Tamasha la burudani la Fiesta 2016 limekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba watamleta msanii wa Marekani Jay Z katika show ya Fiesta Dar es salaam.
beyonce-jay-z-nba-finals-game-june-2016

Mapema Jumamosi hii zilisambaa picha ‘fake’ inayomuonyesha msanii huyo mahiri duniani akiwa ameshasajiriwa kwa ajili ya tamasha hilo linalotarajiwa kufanyika Novemba 5 katika viwanja wa Leaders Club jijini Dar es salaam.

Kupitia ukurasa wa instagram Clouds FM umetoa taarifa hii:
Kumetokea uzushi kwamba tumemsajili msanii Jay Z kwa ajili ya kilele cha #Fiesta2016 hapo #November05. Tunapenda kukanusha habari hiyo; picha iliyotengenezwa kueneza habari hiyo ni batili
Wasanii wakimataifa ambao tayari uwepo wao umetangazwa ni pamoja na Yemi Alade wa Nigeria, Jose Chameleone wa Uganda pamoja na Tekno wa Nigeria.

Hii ni list ya wasanii wa Tanzania.

1. Ben Pol
2. Nandy
3. Christian Bella
4. Fid-Q
5. Weusi
6. Roma
7. Chegge
8. Dogo Janja
9. Billnass
10. Stamina
11. Jux
12. Barnaba
13. Maua Sama
14. Darassa
15. Vanessa Mdee
16. Sholo Mwamba
17. Jay Moe
18. Msami
19. Juma Nature
20. Snura
21. Baraka Da Prince

22. Shilole
23. Manfongo

24. Belle 9

25. Lord Eyes
26. Young Dee
27. Raymond
28. Mr. Blue
29. Alikiba – Kingkiba

30. Hamadai

No comments:

Powered by Blogger.