Trending News>>

Kutofanya Mapenzi Mpaka Ndoa ni Udhaifu?


 
Nina swali ambalo linanitatiza sana haswa pale ninapoulizwa na rafiki zangu

 Swali "Hivi ushamla yule demu?"

Kiukweli kwa confidence huwa najibu hapana kwa sababu tumewekeana ahadi ya kuwa hakuna hicho kitu mpaka ndoa. Sasa cha ajabu ninapojibu hivyo wenzangu huwa hawaamini kwa kuwa mara kadhaa huyu mchumba wangu ambaye tayari nishamposa na kumtolea mahari anakuja nyumbani na kushinda nami muda mwingi.

"Kama hugongi basi unagongewa"

Hayo ndio majibu ya wenzangu.

Namuamini sana huyo msichana kwa sababu i knw ni virgin sio kwa kuambiwa kwa kuiona mimi mwenyewe.

Swali langu ni ushamba au ujinga kusubiri mpaka ndoa?  

No comments:

Powered by Blogger.